Serikali yaja na Mfumo wa Kudhibiti Michezo ya Kubahatisha

28 May, 2022
Serikali yaja na Mfumo wa Kudhibiti Michezo ya Kubahatisha

Kutokana na wimbi la vijana wengi kujihusisha na michezo ya kubahatisha na kusahau majukumu ya ujenzi wa taifa, Serikali ikishirikiana na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha imebuni na kutengeneza mfumo maalum ambao utatumika kudhibiti uchezaji wa michezo hii (Responsible Gaming). Pia, Mfumo huu  utatumika kudhibiti udanganyifu ambao unafanywa na waendeshaji wa michezo ya kubahatisha ili Serikali ipate mapato yake halali.

 

Gaming Problems Hurt

Winners Know when to Stop

Toll free